Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Matendo 15:31 - Swahili Revised Union Version

31 Nao walipokwisha kuisoma wakafurahi kwa ajili ya faraja ile.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

31 Walipoisoma hiyo barua, maneno yake yaliwatia moyo, wakafurahi sana.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

31 Walipoisoma hiyo barua, maneno yake yaliwatia moyo, wakafurahi sana.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

31 Walipoisoma hiyo barua, maneno yake yaliwatia moyo, wakafurahi sana.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

31 Baada ya hao watu kuisoma, wakafurahishwa sana kwa ujumbe wake wa kutia moyo.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

31 Nao hao watu wakiisha kuisoma, wakafurahishwa sana kwa ujumbe wake wa kutia moyo.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

31 Nao walipokwisha kuisoma wakafurahi kwa ajili ya faraja ile.

Tazama sura Nakili




Matendo 15:31
8 Marejeleo ya Msalaba  

Wakashuka watu waliotoka Yudea wakawafundisha wale ndugu ya kwamba, Msipotahiriwa kama desturi ya Musa hamuwezi kuokoka.


Basi sasa mbona mnamjaribu Mungu na kuweka kongwa juu ya shingo za wanafunzi, ambalo baba zetu wala sisi hatukuweza kulibeba.


Hata hao wakiisha kupewa ruhusa wakateremka kwenda Antiokia; na baada ya kuwakusanya jamii yote wakawapa ile barua.


Tena Yuda na Sila, kwa kuwa wao wenyewe ni manabii, wakawausia ndugu kwa maneno mengi, wakawathibitisha.


Makanisa yakatiwa nguvu katika ile Imani, hesabu yao ikaongezeka kila siku.


Katika uhuru huo Kristo alituweka huru; kwa hiyo simameni, wala msinaswe tena chini ya kongwa la utumwa.


Maana sisi tu tohara, tumwabuduo Mungu kwa Roho, na kuona fahari juu ya Kristo Yesu, wala hatuutumainii mwili.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo