Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Matendo 13:9 - Swahili Revised Union Version

9 Lakini Sauli, ambaye ndiye Paulo, akiwa amejaa Roho Mtakatifu, akamkazia macho,

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

9 Basi, Saulo ambaye aliitwa pia Paulo, akiwa amejaa Roho Mtakatifu, alimkodolea macho huyo mchawi,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

9 Basi, Saulo ambaye aliitwa pia Paulo, akiwa amejaa Roho Mtakatifu, alimkodolea macho huyo mchawi,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

9 Basi, Saulo ambaye aliitwa pia Paulo, akiwa amejaa Roho Mtakatifu, alimkodolea macho huyo mchawi,

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

9 Ndipo Sauli, ambaye pia aliitwa Paulo, akiwa amejawa na Roho wa Mungu, akamkazia macho Elima huyo mchawi,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

9 Ndipo Sauli, ambaye pia aliitwa Paulo, akiwa amejawa na Roho wa Mwenyezi Mungu, akamkazia macho Elima huyo mchawi,

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

9 Lakini Sauli, ambaye ndiye Paulo, akiwa amejaa Roho Mtakatifu, akamkazia macho,

Tazama sura Nakili




Matendo 13:9
9 Marejeleo ya Msalaba  

Bali mimi, hakika nimejaa nguvu kwa Roho ya BWANA; nimejaa hukumu na uwezo; nimhubirie Yakobo kosa lake, na Israeli dhambi yake.


Kwa kuwa si ninyi msemao, bali ni Roho wa Baba yenu asemaye ndani yenu.


Akawakazia macho pande zote kwa hasira, akiona huzuni kwa ajili ya ugumu wa mioyo yao, akamwambia yule mtu, Nyosha mkono wako. Naye akaunyosha; mkono wake ukawa mzima tena.


Ndipo akaweka tena mikono yake juu ya macho yake, naye akatazama sana; akawa mzima, akaona vyote waziwazi.


Akawakazia macho akasema, Maana yake nini basi neno hili lililoandikwa, Jiwe walilolikataa waashi, Hilo limekuwa jiwe kuu la pembeni?


Wote wakajazwa Roho Mtakatifu, wakaanza kusema kwa lugha nyingine, kama Roho alivyowajalia kutamka.


Hata walipokwisha kumwomba Mungu, mahali pale walipokusanyika pakatikiswa, wote wakajaa Roho Mtakatifu, wakanena neno la Mungu kwa ujasiri.


Ndipo Petro, akijaa Roho Mtakatifu, akawaambia, Enyi wakubwa wa watu na wazee wa Israeli,


Lakini yeye akijaa Roho Mtakatifu, akakaza macho yake, akitazama mbinguni, akauona utukufu wa Mungu, na Yesu akisimama upande wa mkono wa kulia wa Mungu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo