Matendo 13:9 - Swahili Revised Union Version9 Lakini Sauli, ambaye ndiye Paulo, akiwa amejaa Roho Mtakatifu, akamkazia macho, Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema9 Basi, Saulo ambaye aliitwa pia Paulo, akiwa amejaa Roho Mtakatifu, alimkodolea macho huyo mchawi, Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND9 Basi, Saulo ambaye aliitwa pia Paulo, akiwa amejaa Roho Mtakatifu, alimkodolea macho huyo mchawi, Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza9 Basi, Saulo ambaye aliitwa pia Paulo, akiwa amejaa Roho Mtakatifu, alimkodolea macho huyo mchawi, Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu9 Ndipo Sauli, ambaye pia aliitwa Paulo, akiwa amejawa na Roho wa Mungu, akamkazia macho Elima huyo mchawi, Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu9 Ndipo Sauli, ambaye pia aliitwa Paulo, akiwa amejawa na Roho wa Mwenyezi Mungu, akamkazia macho Elima huyo mchawi, Tazama suraBIBLIA KISWAHILI9 Lakini Sauli, ambaye ndiye Paulo, akiwa amejaa Roho Mtakatifu, akamkazia macho, Tazama sura |