Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Marko 7:1 - Swahili Revised Union Version

1 Kisha Mafarisayo, na baadhi ya waandishi waliotoka Yerusalemu, wakakusanyika mbele yake,

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

1 Baadhi ya Mafarisayo na waalimu wa sheria waliokuwa wametoka Yerusalemu walikusanyika mbele ya Yesu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

1 Baadhi ya Mafarisayo na waalimu wa sheria waliokuwa wametoka Yerusalemu walikusanyika mbele ya Yesu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

1 Baadhi ya Mafarisayo na waalimu wa sheria waliokuwa wametoka Yerusalemu walikusanyika mbele ya Yesu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

1 Mafarisayo na baadhi ya walimu wa Torati waliokuwa wametoka Yerusalemu wakakusanyika mbele ya Isa.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

1 Mafarisayo na baadhi ya walimu wa Torati waliokuwa wametoka Yerusalemu wakakusanyika mbele ya Isa.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

1 Kisha Mafarisayo, na baadhi ya waandishi waliotoka Yerusalemu, wakakusanyika mbele yake,

Tazama sura Nakili




Marko 7:1
5 Marejeleo ya Msalaba  

Nao waandishi walioshuka kutoka Yerusalemu wakasema, Ana Beelzebuli, na, Kwa mkuu wa pepo huwatoa pepo.


wakaona wengine katika wanafunzi wake wakila vyakula kwa mikono najisi, yaani, isiyonawiwa.


Ikawa siku zile mojawapo alikuwa akifundisha, na Mafarisayo na waalimu wa torati walikuwa wameketi hapo, waliotoka katika kila kijiji cha Galilaya, na Yudea, na Yerusalemu; na uweza wa Bwana ulikuwapo apate kuponya.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo