Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Marko 5:6 - Swahili Revised Union Version

6 Na alipomwona Yesu kwa mbali, alipiga mbio, akamsujudia;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

6 Alipomwona Yesu kwa mbali, alimkimbilia, akamwinamia

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

6 Alipomwona Yesu kwa mbali, alimkimbilia, akamwinamia

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

6 Alipomwona Yesu kwa mbali, alimkimbilia, akamwinamia

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

6 Alipomwona Isa kwa mbali, alimkimbilia, akapiga magoti mbele yake.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

6 Alipomwona Isa kwa mbali, alimkimbilia, akapiga magoti mbele yake.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

6 Na alipomwona Yesu kwa mbali, alipiga mbio, akamsujudia;

Tazama sura Nakili




Marko 5:6
7 Marejeleo ya Msalaba  

Mwambieni Mungu, Matendo yako yatisha kama nini! Kwa ajili ya wingi wa nguvu zako, Adui zako watakuja kunyenyekea mbele zako.


Wakaao jangwani na wainame mbele zake; Adui zake na warambe mavumbi.


Na sikuzote, usiku na mchana, alikuwako makaburini na milimani, akipiga kelele na kujikatakata kwa mawe.


akapiga kelele kwa sauti kuu, akasema, Nina nini nawe, Yesu, Mwana wa Mungu aliye juu? Nakuapisha kwa Mungu usinitese.


Pepo nao waliwatoka watu wengi, wakipiga kelele na kusema, Wewe u Mwana wa Mungu. Akawakemea, asiwaache kunena, kwa sababu walimjua kuwa ndiye Kristo.


Akamfuata Paulo na sisi akipiga kelele, akisema, Watu hawa ni watumishi wa Mungu aliye juu, wenye kuwahubiria njia ya wokovu.


Wewe waamini ya kuwa Mungu ni mmoja; watenda vema. Mashetani nao waamini na kutetemeka.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo