Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Marko 5:5 - Swahili Revised Union Version

5 Na sikuzote, usiku na mchana, alikuwako makaburini na milimani, akipiga kelele na kujikatakata kwa mawe.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

5 Mchana na usiku alikaa makaburini na milimani akipaza sauti na kujikatakata kwa mawe.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

5 Mchana na usiku alikaa makaburini na milimani akipaza sauti na kujikatakata kwa mawe.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

5 Mchana na usiku alikaa makaburini na milimani akipaza sauti na kujikatakata kwa mawe.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

5 Usiku na mchana alikuwa makaburini na milimani, akipiga kelele na kujikatakata kwa mawe.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

5 Usiku na mchana alikuwa makaburini na milimani, akipiga kelele na kujikatakata kwa mawe.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

5 Na siku zote, usiku na mchana, alikuwako makaburini na milimani, akipiga kelele na kujikatakata kwa mawe.

Tazama sura Nakili




Marko 5:5
5 Marejeleo ya Msalaba  

Wakapiga kelele, wakajikatakata kwa visu na vyembe kama ilivyo desturi yao, hata damu ikawachuruzika.


kwa sababu alikuwa amefungwa mara nyingi kwa pingu na minyororo, akaikata ile minyororo, na kuzivunjavunja zile pingu; wala hakuna mtu aliyekuwa na nguvu za kumshinda.


Na alipomwona Yesu kwa mbali, alipiga mbio, akamsujudia;


Ninyi ni wa baba yenu, Ibilisi, na tamaa za baba yenu ndizo mpendazo kuzitenda. Yeye alikuwa mwuaji tangu mwanzo; wala hakusimama katika kweli, kwa kuwa hamna hiyo kweli ndani yake. Asemapo uongo, husema yaliyo yake mwenyewe; kwa sababu yeye ni mwongo, na baba wa uongo.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo