Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Marko 4:18 - Swahili Revised Union Version

18 Na hawa ndio wale wapandwao penye miiba; ni watu walisikiao lile neno,

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

18 Watu wengine ni kama zile mbegu zilizoanguka penye miti ya miiba. Huo ni mfano wa wale wanaosikia hilo neno,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

18 Watu wengine ni kama zile mbegu zilizoanguka penye miti ya miiba. Huo ni mfano wa wale wanaosikia hilo neno,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

18 Watu wengine ni kama zile mbegu zilizoanguka penye miti ya miiba. Huo ni mfano wa wale wanaosikia hilo neno,

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

18 Lakini wengine, kama mbegu iliyopandwa kwenye miiba, hulisikia lile neno;

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

18 Lakini wengine, kama mbegu iliyopandwa kwenye miiba, hulisikia lile neno;

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

18 Na hawa ndio wale wapandwao penye miiba; ni watu walisikiao lile neno,

Tazama sura Nakili




Marko 4:18
6 Marejeleo ya Msalaba  

Maana BWANA awaambia hivi watu wa Yuda na Yerusalemu Ulimeni udongo katika konde zenu, wala msipande mbegu kati ya miiba.


Naye aliyepandwa penye miiba, huyo ndiye alisikiaye lile neno; na shughuli za dunia, na udanganyifu wa mali hulisonga lile neno; likawa halizai.


ila hawana mizizi ndani yao, bali hudumu muda mchache; kisha ikitokea dhiki au udhia kwa ajili ya lile neno, mara hujikwaa.


na shughuli za dunia, na udanganyifu wa mali, na tamaa za mambo mengine zikiingia, hulisonga lile neno, likawa halizai.


Nyingine ikaanguka penye miiba; ile miiba ikamea ikaisonga, isizae matunda.


Na zilizoanguka penye miiba ni wale waliosikia, na katika kuenenda kwao husongwa na shughuli na mali, na anasa za maisha haya, wasiivishe lolote.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo