Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Marko 14:50 - Swahili Revised Union Version

50 Ndipo wakamwacha, wakakimbia wote.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

50 Hapo wanafunzi wote wakamwacha, wakakimbia.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

50 Hapo wanafunzi wote wakamwacha, wakakimbia.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

50 Hapo wanafunzi wote wakamwacha, wakakimbia.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

50 Ndipo wanafunzi wake wote wakamwacha, wakakimbia.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

50 Ndipo wanafunzi wake wote wakamwacha, wakakimbia.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

50 Ndipo wakamwacha, wakakimbia wote.

Tazama sura Nakili




Marko 14:50
11 Marejeleo ya Msalaba  

Wanipendao na rafiki zangu wanasimama mbali na pigo langu; Na jamaa zangu wanasimama mbali.


Mpenzi na rafiki umewatenga nami, Nao wanijuao wamo gizani.


Nilikanyaga shinikizoni peke yangu; Wala katika watu hakuwapo mtu pamoja nami; Naam, niliwakanyaga kwa hasira yangu, Niliwaponda kwa ghadhabu yangu; Na mavazi yangu yametiwa madoa kwa damu yao, Nami nimezichafua nguo zangu zote.


Yesu akawaambia, Mtakunguwazwa ninyi nyote kwa ajili yangu usiku huu; kwa kuwa imeandikwa, Nitampiga mchungaji, na kondoo watatawanyika.


Kila siku nilikuwa mbele yenu hekaluni nikifundisha, msinikamate; lakini haya yamekuwa ili maandiko yapate kutimia.


Na kijana mmoja alimfuata, akiwa amejitanda mwili wake nguo ya kitani; wakamkamata;


Tazama, saa inakuja, naam, imekwisha kuja, ambapo mtatawanyika kila mmoja kwao kwao, na kuniacha mimi peke yangu; lakini mimi siko peke yangu, kwa kuwa Baba yupo pamoja nami.


Yesu akajibu, Nimekwisha kuwaambieni ya kwamba ni mimi; basi ikiwa mnanitafuta mimi, waacheni hawa waende zao.


Katika utetezi wangu wa kwanza hakuna mtu aliyesimama upande wangu, bali wote waliniacha; naomba wasihesabiwe hatia kwa jambo hilo.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo