Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Marko 14:16 - Swahili Revised Union Version

16 Wanafunzi wakatoka, wakaenda mjini, wakaona kama alivyowaambia, wakaiandaa Pasaka.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

16 Wanafunzi wakaondoka, wakaenda mjini, wakakuta kila kitu sawa kama Yesu alivyokuwa amewaambia. Wakaandaa karamu ya Pasaka.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

16 Wanafunzi wakaondoka, wakaenda mjini, wakakuta kila kitu sawa kama Yesu alivyokuwa amewaambia. Wakaandaa karamu ya Pasaka.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

16 Wanafunzi wakaondoka, wakaenda mjini, wakakuta kila kitu sawa kama Yesu alivyokuwa amewaambia. Wakaandaa karamu ya Pasaka.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

16 Wale wanafunzi wakaondoka na kwenda mjini, nao wakakuta kila kitu kama Isa alivyowaambia. Hivyo wakaiandaa Pasaka.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

16 Wale wanafunzi wakaondoka na kwenda mjini, nao wakakuta kila kitu kama Isa alivyowaambia. Hivyo wakaiandaa Pasaka.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

16 Wanafunzi wakatoka, wakaenda mjini, wakaona kama alivyowaambia, wakaiandaa Pasaka.

Tazama sura Nakili




Marko 14:16
6 Marejeleo ya Msalaba  

Nikafanya vile vile kama nilivyoamriwa; nilitoa vyombo vyangu wakati wa mchana kana kwamba ni vyombo vya kuhamishwa, na wakati wa jioni nikautoboa ukuta kwa mkono wangu; nikavitoa gizani, nikavichukua begani, mbele ya macho yao.


Naye mwenyewe atawaonesha ghorofa kubwa, iliyotayarishwa; humo tuandalieni.


Basi ilipokuwa jioni akaja pamoja na wale Kumi na Wawili.


Wakaenda, wakaona kama alivyowaambia, wakaiandaa Pasaka.


Akawauliza, Je! Hapo nilipowatuma hamna mfuko, wala mkoba, wala viatu, mlipungukiwa na kitu? Wakasema, La!


Lakini nimewaambia hayo, ili makusudi saa ile itakapokuja myakumbuke ya kuwa mimi niliwaambia. Sikuwaambia hayo tangu mwanzo, kwa sababu nilikuwapo pamoja nanyi.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo