Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Marko 12:4 - Swahili Revised Union Version

4 Akatuma tena kwao mtumwa mwingine, na huyo wakamtia majeraha ya kichwa, wakamfanyia jeuri.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

4 Akamtuma tena mtumishi mwingine; huyu pia wakamwumiza kichwa na kumtendea vibaya.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

4 Akamtuma tena mtumishi mwingine; huyu pia wakamwumiza kichwa na kumtendea vibaya.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

4 Akamtuma tena mtumishi mwingine; huyu pia wakamwumiza kichwa na kumtendea vibaya.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

4 Kisha yule mwenye shamba akamtuma mtumishi mwingine kwao; nao wale wakulima wakampiga kichwani na kumfanyia mambo ya aibu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

4 Kisha yule mwenye shamba akamtuma mtumishi mwingine kwao; nao wale wakulima wakampiga kichwani na kumfanyia mambo ya aibu.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

4 Akatuma tena kwao mtumwa mwingine, na huyo wakamtia majeraha ya kichwa, wakamfanyia jeuri.

Tazama sura Nakili




Marko 12:4
5 Marejeleo ya Msalaba  

Basi Hanuni akawatwaa watumishi wa Daudi, akawanyoa, akawapasulia nguo zao katikati, hadi kiunoni, kisha akawaachilia waondoke.


Naam, Mungu atakipasua kichwa cha adui zake, Utosi wenye nywele wa mtu afululizaye kukosa.


Wakamtwaa, wakampiga, wakamtoa nje, bila chochote.


Akamtuma mwingine, huyo wakamwua; na wengine wengi, hawa wakiwapiga na hawa wakiwaua.


Akatuma na mtumwa mwingine. Wakampiga huyu naye, wakamwaibisha wakamfukuza mikono mitupu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo