Marko 12:25 - Swahili Revised Union Version25 Kwa maana watakapofufuka katika wafu, hawaoi wala hawaolewi, bali huwa kama malaika walioko mbinguni. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema25 Maana wafu watakapofufuka hawataoa wala kuolewa; watakuwa kama malaika wa mbinguni. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND25 Maana wafu watakapofufuka hawataoa wala kuolewa; watakuwa kama malaika wa mbinguni. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza25 Maana wafu watakapofufuka hawataoa wala kuolewa; watakuwa kama malaika wa mbinguni. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu25 Wafu watakapofufuka, hawataoa wala kuolewa, bali watakuwa kama malaika wa mbinguni. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu25 Wafu watakapofufuka, hawataoa wala kuolewa, bali watakuwa kama malaika wa mbinguni. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI25 Kwa maana watakapofufuka katika wafu, hawaoi wala hawaolewi, bali huwa kama malaika walioko mbinguni. Tazama sura |