Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Marko 12:25 - Swahili Revised Union Version

25 Kwa maana watakapofufuka katika wafu, hawaoi wala hawaolewi, bali huwa kama malaika walioko mbinguni.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

25 Maana wafu watakapofufuka hawataoa wala kuolewa; watakuwa kama malaika wa mbinguni.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

25 Maana wafu watakapofufuka hawataoa wala kuolewa; watakuwa kama malaika wa mbinguni.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

25 Maana wafu watakapofufuka hawataoa wala kuolewa; watakuwa kama malaika wa mbinguni.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

25 Wafu watakapofufuka, hawataoa wala kuolewa, bali watakuwa kama malaika wa mbinguni.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

25 Wafu watakapofufuka, hawataoa wala kuolewa, bali watakuwa kama malaika wa mbinguni.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

25 Kwa maana watakapofufuka katika wafu, hawaoi wala hawaolewi, bali huwa kama malaika walioko mbinguni.

Tazama sura Nakili




Marko 12:25
7 Marejeleo ya Msalaba  

Kwa maana katika kiyama hawaoi wala hawaolewi, bali huwa kama malaika mbinguni.


Yesu akajibu, akawaambia, Je! Hampotei kwa sababu hii, kwa kuwa hamyajui maandiko wala uweza wa Mungu?


Na kuhusu wafu ya kwamba wafufuliwa, hamjasoma katika kitabu cha Musa, Kuhusu kile kichaka jinsi Mungu alivyomwambia, akisema, Mimi ni Mungu wa Abrahamu, na Mungu wa Isaka, na Mungu wa Yakobo?


Wapenzi, sasa tu wana wa Mungu, wala haijadhihirika bado tutakavyokuwa; lakini tunajua ya kuwa atakapodhihirishwa, tutafanana naye; kwa maana tutamwona kama alivyo.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo