Marko 12:24 - Swahili Revised Union Version24 Yesu akajibu, akawaambia, Je! Hampotei kwa sababu hii, kwa kuwa hamyajui maandiko wala uweza wa Mungu? Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema24 Yesu akawaambia, “Nyinyi mmekosea kwa sababu hamjui Maandiko Matakatifu wala nguvu ya Mungu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND24 Yesu akawaambia, “Nyinyi mmekosea kwa sababu hamjui Maandiko Matakatifu wala nguvu ya Mungu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza24 Yesu akawaambia, “Nyinyi mmekosea kwa sababu hamjui Maandiko Matakatifu wala nguvu ya Mungu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu24 Isa akawajibu, “Je, hampotei kwa sababu hamfahamu Maandiko wala uweza wa Mungu? Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu24 Isa akawajibu, “Je, hampotoki kwa sababu hamfahamu Maandiko wala uweza wa Mungu? Tazama suraBIBLIA KISWAHILI24 Yesu akajibu, akawaambia, Je! Hampotei kwa sababu hii, kwa kuwa hamyajui maandiko wala uweza wa Mungu? Tazama sura |