Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Marko 11:8 - Swahili Revised Union Version

8 Watu wengi wakatandaza mavazi yao njiani, na wengine matawi waliyoyakata mashambani.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

8 Watu wengi wakatandaza mavazi yao barabarani; wengine wakatandaza matawi ya miti waliyoyakata mashambani.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

8 Watu wengi wakatandaza mavazi yao barabarani; wengine wakatandaza matawi ya miti waliyoyakata mashambani.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

8 Watu wengi wakatandaza mavazi yao barabarani; wengine wakatandaza matawi ya miti waliyoyakata mashambani.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

8 Watu wengi wakatandaza mavazi yao barabarani, na wengine wakatandaza matawi waliyokuwa wamekata mashambani.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

8 Watu wengi wakatandaza mavazi yao barabarani, na wengine wakatandaza matawi waliyokuwa wamekata mashambani.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

8 Watu wengi wakatandaza mavazi yao njiani, na wengine matawi waliyoyakata mashambani.

Tazama sura Nakili




Marko 11:8
5 Marejeleo ya Msalaba  

Basi wakafanya haraka, kila mtu akalitwaa vazi lake, na kulitia chini yake juu ya madaraja, wakapiga baragumu wakasema, Yehu ni mfalme.


Nanyi siku ya kwanza mtajipatia matunda ya miti mizuri, na makuti ya mitende, na matawi ya miti minene, na mierebi ya vijitoni; nanyi mtafurahi mbele za BWANA, Mungu wenu, muda wa siku saba.


Watu wengi katika ule mkutano wakatandaza nguo zao njiani; na wengine wakakata matawi ya miti, wakayatandaza njiani.


Wakamletea Yesu yule mwanapunda, wakatandika mavazi yao juu yake; akaketi juu yake.


Nao watu waliotangulia na wale waliofuata wakapaza sauti, Hosana; ndiye mbarikiwa ajaye kwa jina la Bwana;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo