Maombolezo 3:58 - Swahili Revised Union Version58 Ee BWANA umenitetea katika kisa cha nafsi yangu; Umeukomboa uhai wangu. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema58 “Umenitetea katika kisa changu ee Mwenyezi-Mungu, umeyakomboa maisha yangu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND58 “Umenitetea katika kisa changu ee Mwenyezi-Mungu, umeyakomboa maisha yangu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza58 “Umenitetea katika kisa changu ee Mwenyezi-Mungu, umeyakomboa maisha yangu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu58 Ee Bwana, ulichukua shauri langu, ukaukomboa uhai wangu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu58 Ee Bwana, ulichukua shauri langu, ukaukomboa uhai wangu. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI58 Ee BWANA umenitetea katika kisa cha nafsi yangu; Umeukomboa uhai wangu. Tazama sura |
Naye Daudi aliposikia ya kwamba Nabali amekufa, alisema, Na ahimidiwe BWANA ambaye amenitetea teto la shutumu langu mkononi mwa Nabali, na kumzuia mtumishi wake asitende maovu; tena uovu wake Nabali BWANA amemrudishia juu ya kichwa chake mwenyewe. Kisha Daudi akatuma watu, akamposa Abigaili ili amwoe.