Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Maombolezo 3:58 - Swahili Revised Union Version

58 Ee BWANA umenitetea katika kisa cha nafsi yangu; Umeukomboa uhai wangu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

58 “Umenitetea katika kisa changu ee Mwenyezi-Mungu, umeyakomboa maisha yangu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

58 “Umenitetea katika kisa changu ee Mwenyezi-Mungu, umeyakomboa maisha yangu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

58 “Umenitetea katika kisa changu ee Mwenyezi-Mungu, umeyakomboa maisha yangu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

58 Ee Bwana, ulichukua shauri langu, ukaukomboa uhai wangu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

58 Ee Bwana, ulichukua shauri langu, ukaukomboa uhai wangu.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

58 Ee BWANA umenitetea katika kisa cha nafsi yangu; Umeukomboa uhai wangu.

Tazama sura Nakili




Maombolezo 3:58
13 Marejeleo ya Msalaba  

naye Malaika aliyeniokoa na maovu yote, na awabariki vijana hawa; jina langu na litajwe juu yao, na jina la baba zangu, Abrahamu na Isaka; na wawe wingi wa watu kati ya nchi.


Sembuse usemapo wewe ya kuwa humwangalii, Hiyo kesi i mbele yake, nawe wamngojea!


Aukomboa uhai wako kutoka kwa kaburi, Akutia taji la fadhili na rehema,


BWANA huzikomboa nafsi za watumishi wake, Wote wamkimbiliao hawatahukumiwa.


Midomo yangu itafurahi sana nikuimbiapo, Na nafsi yangu uliyoikomboa.


Umewakemea mataifa; Na kumwangamiza mdhalimu; Umelifuta jina lao milele na milele;


BWANA, Bwana wako na Mungu wako, awateteaye watu wake, asema hivi, Tazama, nimeondoa mkononi mwako kikombe cha kulevyalevya, hilo bakuli la hasira yangu; hutalinywea tena;


Lakini, Ee BWANA wa majeshi, uhukumuye haki, ujaribuye fikira na moyo, nijalie kuona kisasi chako juu yao; kwa maana nimekufunulia wewe neno langu.


Kwa maana BWANA amemweka huru Yakobo, amemkomboa mkononi mwake aliyekuwa hodari kuliko yeye.


Basi wakamwinua Yeremia kwa kamba hizo, wakamtoa shimoni; naye Yeremia akakaa katika ukumbi wa walinzi.


Mkombozi wao ni hodari; BWANA wa majeshi ndilo jina lake; yeye atawatetea kwa bidii, apate kuistarehesha nchi, na kuwasumbua wakaao katika Babeli.


Basi, BWANA asema hivi, Tazama, nitakutetea, nami nitatwaa kisasi kwa ajili yako; nami nitaikausha bahari yake, nitaifanya chemchemi yake kuwa pakavu.


Naye Daudi aliposikia ya kwamba Nabali amekufa, alisema, Na ahimidiwe BWANA ambaye amenitetea teto la shutumu langu mkononi mwa Nabali, na kumzuia mtumishi wake asitende maovu; tena uovu wake Nabali BWANA amemrudishia juu ya kichwa chake mwenyewe. Kisha Daudi akatuma watu, akamposa Abigaili ili amwoe.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo