Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Maombolezo 3:48 - Swahili Revised Union Version

48 Jicho langu lachuruzika mito ya machozi Kwa sababu ya kuharibiwa kwa binti zangu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

48 Macho yangu yabubujika mito ya machozi kwa sababu ya kuangamizwa kwa watu wangu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

48 Macho yangu yabubujika mito ya machozi kwa sababu ya kuangamizwa kwa watu wangu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

48 Macho yangu yabubujika mito ya machozi kwa sababu ya kuangamizwa kwa watu wangu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

48 Vijito vya machozi vinatiririka kutoka machoni mwangu, kwa sababu watu wangu wameangamizwa.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

48 Vijito vya machozi vinatiririka kutoka machoni mwangu, kwa sababu watu wangu wameangamizwa.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

48 Jicho langu lachuruzika mito ya machozi Kwa sababu ya kuharibiwa kwa binti zangu.

Tazama sura Nakili




Maombolezo 3:48
11 Marejeleo ya Msalaba  

Macho yangu yachuruzika mito ya machozi, Kwa sababu hawaitii sheria yako.


Kando ya mito ya Babeli ndiko tulikoketi, Tukalia tulipoikumbuka Sayuni.


Bali kama hamtaki kusikia, roho yangu italia kwa siri, kwa sababu ya kiburi chenu; na jicho langu litalia sana na kutoka machozi mengi, kwa kuwa kundi la BWANA limechukuliwa mateka.


Nawe utawaambia neno hili, Macho yangu na yatiririke machozi, usiku na mchana, wala yasikome; kwa maana bikira, binti ya watu wangu, amevunjika mavunjiko makuu, kwa jeraha lisiloponyeka.


Mtima wangu, mtima wangu! Naumwa katika moyo wangu wa ndani; moyo wangu umefadhaika ndani yangu; siwezi kunyamaza; kwa sababu umesikia, Ee nafsi yangu, sauti ya tarumbeta, mshindo wa vita.


Laiti kichwa changu kingekuwa maji, na macho yangu kuwa chemchemi ya machozi, ili nipate kulia mchana na usiku kwa ajili yao waliouawa wa binti ya watu wangu!


na wafanye haraka na kutuombolezea, ili macho yetu yachuruzike machozi, na kope zetu zibubujike maji.


Mimi ninayalilia mambo hayo; Jicho langu, jicho langu linachuruzika machozi; Kwa kuwa mfariji yuko mbali nami, Ambaye ilimpasa kunihuisha nafsi; Watoto wangu wameachwa peke yao, Kwa sababu huyo adui ameshinda.


Macho yangu yamechoka kwa machozi, Mtima wangu umetaabika; Ini langu linamiminwa juu ya nchi Kwa uharibifu wa binti ya watu wangu; Kwa sababu watoto wachanga na wanyonyao, Huzimia katika mitaa ya mji.


Mioyo yao ilimlilia Bwana; Ee ukuta wa binti Sayuni! Machozi na yachuruzike kama mto Mchana na usiku; Usijipatie kupumzika; Mboni ya jicho lako isikome.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo