Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Maombolezo 3:31 - Swahili Revised Union Version

31 Kwa kuwa Bwana hatamtupa mtu Hata milele.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

31 Mwenyezi-Mungu hatatutupa milele.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

31 Mwenyezi-Mungu hatatutupa milele.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

31 Mwenyezi-Mungu hatatutupa milele.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

31 Kwa kuwa watu hawakatiliwi mbali na Bwana milele.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

31 Kwa kuwa watu hawakatiliwi mbali na Bwana milele.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

31 Kwa kuwa Bwana hatamtupa mtu Hata milele.

Tazama sura Nakili




Maombolezo 3:31
15 Marejeleo ya Msalaba  

Kwa kuwa hatuna budi kufa, nasi tu kama maji yaliyomwagika chini, yasiyoweza kuzoleka tena; wala Mungu haondoi maisha ila hufikiri shauri, kwamba yeye aliyefukuzwa asiwe mkimbizi kwake.


Tena nitawatesa wazao wa Daudi kwa sababu hii, lakini si daima.


Je! Bwana atatutupa milele na milele? Asiwe na fadhili kwetu kamwe?


Kwa kuwa BWANA hatawatupa watu wake, Wala hutauacha urithi wake,


Umemwadhibu kwa kiasi, ulipomfukuza; ukampepeta kwa upepo mkali katika siku ya upepo wa mashariki.


Kwa kuwa sitashindana na watu siku zote, wala sitakuwa na hasira siku zote; maana roho ingezimia mbele zangu, na hizo nafsi nilizozifanya.


BWANA asema hivi, Kama mbingu zikiweza kupimwa, na misingi ya dunia ikiweza kugunduliwa huko chini, ndipo wazao wa Israeli pia nitawatupilia mbali, kwa ajili ya hayo yote waliyoyatenda, asema BWANA.


nami nitafanya agano la milele pamoja nao, kwamba sitageuka wala kuwaacha, ili niwatendee mema; nami nitatia kicho changu mioyoni mwao, ili wasiniache.


Je! Hufikiri neno hili walilolisema watu hawa, wakinena, Jamaa zile mbili alizozichagua BWANA amezitupilia mbali? Hivyo ndivyo wanavyowadharau watu wangu, ili wasiwe taifa tena mbele yao.


Ni nani aliye Mungu kama wewe, mwenye kusamehe uovu, na kuliachilia kosa la watu wa urithi wake waliosalia? Hadumishi hasira yake milele, kwa maana yeye hufurahia rehema.


BWANA asema hivi, Ijapokuwa wana nguvu zilizo timilifu, ijapokuwa ni wengi, hata hivyo watakatwa, naye atapita na kwenda zake. Ingawa nimekutesa, sitakutesa tena.


visivyoweza kusaidia wala kuokoa, kwa kuwa havifai kitu. Maana BWANA hatawaacha watu wake kwa ajili ya jina lake kuu; kwa kuwa imempendeza BWANA kuwafanya ninyi kuwa watu wake mwenyewe.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo