Luka 5:34 - Swahili Revised Union Version34 Lakini Yesu akawaambia, Je! Mwaweza kuwafanya wafunge walioalikwa arusini, akiwapo bwana arusi pamoja nao? Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema34 Yesu akawajibu, “Je, wale walioalikwa harusini hutakiwa wafunge hali bwana arusi yuko pamoja nao? La! Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND34 Yesu akawajibu, “Je, wale walioalikwa harusini hutakiwa wafunge hali bwana arusi yuko pamoja nao? La! Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza34 Yesu akawajibu, “Je, wale walioalikwa harusini hutakiwa wafunge hali bwana arusi yuko pamoja nao? La! Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu34 Isa akawajibu, “Je, mnaweza kuwafanya wageni wa bwana arusi kufunga wakati yuko pamoja nao? Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu34 Isa akawajibu, “Je, mnaweza kuwafanya wageni wa bwana arusi kufunga wakati yuko pamoja nao? Tazama suraBIBLIA KISWAHILI34 Lakini Yesu akawaambia, Je! Mwaweza kuwafanya wafunge walioalikwa harusini, akiwapo bwana harusi pamoja nao? Tazama sura |