Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Luka 23:6 - Swahili Revised Union Version

6 Pilato aliposikia hayo aliuliza kama huyu ni mtu wa Galilaya.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

6 Pilato aliposikia hayo, akauliza, “Je, mtu huyu ni mwenyeji wa Galilaya?”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

6 Pilato aliposikia hayo, akauliza, “Je, mtu huyu ni mwenyeji wa Galilaya?”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

6 Pilato aliposikia hayo, akauliza, “Je, mtu huyu ni mwenyeji wa Galilaya?”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

6 Pilato aliposikia hayo akauliza kama huyo mtu alikuwa Mgalilaya.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

6 Pilato aliposikia hayo akauliza, “Huyu mtu ni Mgalilaya?”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

6 Pilato aliposikia hayo aliuliza kama huyu ni mtu wa Galilaya.

Tazama sura Nakili




Luka 23:6
5 Marejeleo ya Msalaba  

Na Petro alikuwa ameketi nje uani; kijakazi mmoja akamwendea, akasema, Wewe nawe ulikuwapo pamoja na Yesu wa Galilaya.


Na wakati uo huo walikuwapo watu waliompasha habari ya Wagalilaya wale ambao Pilato alichanganya damu yao na dhabihu zao.


Nao walisisitiza sana, wakisema, Huwataharakisha watu, akifundisha katika Yudea yote, tokea Galilaya mpaka huku.


Na alipopata habari ya kuwa yu chini ya mamlaka ya Herode, alimpeleka kwa Herode, kwa kuwa yeye naye alikuwapo Yerusalemu siku zile.


Baada ya mtu huyo aliondoka Yuda Mgalilaya, siku zile za kuandikiwa orodha, akawavuta watu kadhaa nyuma yake, naye pia akapotea na wote waliomsadiki wakatawanyika.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo