Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Luka 23:24 - Swahili Revised Union Version

24 Pilato akahukumu kwamba haja yao ifanyike.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

24 Basi, Pilato akaamua kwamba matakwa yao yatimizwe.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

24 Basi, Pilato akaamua kwamba matakwa yao yatimizwe.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

24 Basi, Pilato akaamua kwamba matakwa yao yatimizwe.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

24 Kwa hiyo Pilato akatoa hukumu kwamba madai yao yatimizwe.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

24 Kwa hiyo Pilato akatoa hukumu kwamba madai yao yatimizwe.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

24 Pilato akahukumu kwamba haja yao ifanyike.

Tazama sura Nakili




Luka 23:24
7 Marejeleo ya Msalaba  

Usiwafuate walio wengi kutenda uovu; wala usitie ushahidi wako katika neno lolote kwa kugeukia kando na kuandamana na mkutano ili kupotoa hukumu;


Yeye asemaye kwamba asiye haki ana haki; naye asemaye kwamba mwenye haki hana haki; Hao wote wawili ni chukizo kwa BWANA.


Ndipo akawafungulia Baraba; na baada ya kumpiga Yesu mijeledi, akamtoa ili asulubiwe.


Pilato kwa kupenda kuwaridhisha watu, akawafungulia Baraba; akamtoa Yesu, baada ya kumpiga mijeledi, ili asulubiwe.


Lakini wakatoa sauti zao kwa nguvu sana, wakitaka asulubiwe. Sauti zao zikashinda.


Akamfungua yule aliyetupwa gerezani kwa ajili ya fitina na uuaji, yule waliyemtaka, akamtoa Yesu wamfanyie watakavyo.


Basi ndipo Pilato alipomtwaa Yesu, akampiga mijeledi.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo