Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Luka 22:64 - Swahili Revised Union Version

64 Wakamfunika macho, kisha wakamwulizauliza wakisema, Tabiri, ni nani aliyekupiga?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

64 Walimfunga kitambaa usoni, wakawa wanamwuliza, “Ni nani aliyekupiga? Hebu bashiri, tuone!”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

64 Walimfunga kitambaa usoni, wakawa wanamwuliza, “Ni nani aliyekupiga? Hebu bashiri, tuone!”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

64 Walimfunga kitambaa usoni, wakawa wanamwuliza, “Ni nani aliyekupiga? Hebu bashiri, tuone!”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

64 Wakamfunga kitambaa machoni na kumuuliza, “Tabiri! Tuambie ni nani aliyekupiga?”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

64 Wakamfunga kitambaa machoni na kumuuliza, “Tabiri! Tuambie ni nani aliyekupiga?”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

64 Wakamfunika macho, kisha wakamwulizauliza wakisema, Tabiri, ni nani aliyekupiga?

Tazama sura Nakili




Luka 22:64
4 Marejeleo ya Msalaba  

wakisema, Ewe Kristo, tufumbulie; ni nani aliyekupiga?


Wengine wakaanza kumtemea mate, wakamfunika uso, na kumpiga makonde, na kumwambia, tabiri. Hata watumishi nao wakamchukua wakampiga makofi.


Wafilisti wakamkamata, wakamng'oa macho; wakateremka naye mpaka Gaza, wakamfunga kwa vifungo vya shaba; naye alikuwa akisaga ngano katika gereza.


Ikawa mioyo yao iliposhangilia, wakasema, Mwiteni Samsoni, ili atufanyie michezo. Basi wakamwita Samsoni atoke gerezani, akacheze mbele yao wakamweka katikati ya nguzo mbili.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo