Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Luka 22:3 - Swahili Revised Union Version

3 Shetani akamwingia Yuda, aitwaye Iskarioti, naye ni mmoja wa wale Kumi na Wawili.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

3 Basi, Shetani akamwingia Yuda aitwaye Iskarioti, mmoja wa wale mitume kumi na wawili.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

3 Basi, Shetani akamwingia Yuda aitwaye Iskarioti, mmoja wa wale mitume kumi na wawili.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

3 Basi, Shetani akamwingia Yuda aitwaye Iskarioti, mmoja wa wale mitume kumi na wawili.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

3 Shetani akamwingia Yuda, aliyeitwa Iskariote, mmoja wa wale kumi na wawili.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

3 Shetani akamwingia Yuda, aliyeitwa Iskariote, mmoja wa wale Kumi na Wawili.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

3 Shetani akamwingia Yuda, aitwaye Iskarioti, naye ni mmoja wa wale Kumi na Wawili.

Tazama sura Nakili




Luka 22:3
16 Marejeleo ya Msalaba  

Hata rafiki yangu mwandani niliyemtumaini, Aliyekula pamoja nami, Ameniinulia kisigino chake.


Simoni Mkananayo, na Yuda Iskarioti, naye ndiye aliyemsaliti.


Akajibu akasema, Yeye aliyetia mkono wake pamoja nami katika bakuli, ndiye atakayenisaliti.


Ndipo Yesu alipomwambia, Nenda zako, Shetani; kwa maana imeandikwa, Mwabudu Bwana Mungu wako, na umtumikie yeye peke yake.


Lakini, tazama, mkono wake yeye anayenisaliti upo hapa pamoja nami mezani,


na Yuda wa Yakobo, na Yuda Iskarioti, ndiye aliyekuwa msaliti.


Naye aliyasema hayo, si kwa kuwahurumia maskini; bali kwa kuwa ni mwizi, naye ndiye aliyeshika mfuko, akavichukua vilivyotiwa humo.


Sisemi habari za ninyi nyote; nawajua wale niliowachagua; lakini andiko lipate kutimizwa, Aliyekula chakula changu Ameniinulia kisigino chake.


Hata wakati wa chakula cha jioni; naye Ibilisi amekwisha kumtia Yuda, mwana wa Simoni Iskarioti, moyo wa kumsaliti;


Petro akasema, Anania, kwa nini Shetani amekujaza moyo wako kumwambia uongo Roho Mtakatifu, na kuhifadhi kwa siri sehemu ya thamani ya kiwanja?


Tufuate:

Matangazo


Matangazo