Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Luka 22:29 - Swahili Revised Union Version

29 Nami nawawekea ninyi ufalme, kama vile Baba yangu alivyoniwekea mimi;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

29 na, kama vile Baba yangu alivyonikabidhi ufalme, vivyo hivyo nami ninawakabidhi nyinyi ufalme.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

29 na, kama vile Baba yangu alivyonikabidhi ufalme, vivyo hivyo nami ninawakabidhi nyinyi ufalme.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

29 na, kama vile Baba yangu alivyonikabidhi ufalme, vivyo hivyo nami ninawakabidhi nyinyi ufalme.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

29 Nami kama Baba yangu alivyonipa ufalme, nami ninawapa ninyi,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

29 Nami kama Baba yangu alivyonipa ufalme, kadhalika mimi nami ninawapa ninyi,

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

29 Nami nawawekea ninyi ufalme, kama vile Baba yangu alivyoniwekea mimi;

Tazama sura Nakili




Luka 22:29
14 Marejeleo ya Msalaba  

Amin, nawaambieni, atamweka juu ya vitu vyake vyote.


Bwana wake akamwambia, Vema, mtumwa mwema na mwaminifu; ulikuwa mwaminifu kwa machache, nitakuweka juu ya mengi; ingia katika furaha ya bwana wako.


Kisha Mfalme atawaambia wale walioko katika mkono wake wa kulia, Njooni, mliobarikiwa na Baba yangu, urithini ufalme mliowekewa tayari tangu kuumbwa ulimwengu;


Yesu akaja kwao, akasema nao, akawaambia, Nimepewa mamlaka yote mbinguni na duniani.


Heri wenye kuudhiwa kwa ajili ya haki; Maana ufalme wa mbinguni ni wao.


Heri walio maskini wa roho; Maana ufalme wa mbinguni ni wao.


Msiogope, enyi kundi dogo; kwa kuwa Baba yenu ameona vema kuwapa ule ufalme.


Akamwambia, Vema, mtumwa mwema; kwa vile ulivyokuwa mwaminifu katika neno lililo dogo, uwe na mamlaka juu ya miji kumi.


Na kila ashindanaye katika michezo hujizuia katika yote; basi hao hufanya hivyo ili wapokee taji liharibikayo; bali sisi tupokee taji lisiloharibika.


Na tumaini letu kwa ajili yenu ni imara, tukijua ya kuwa kama vile mlivyo washiriki wa yale mateso, vivyo hivyo mmekuwa washiriki wa zile faraja.


Kama tukistahimili, tutamiliki pamoja naye; Kama tukimkana yeye, yeye naye atatukana sisi;


Ndugu zangu wapenzi, sikilizeni, Je! Mungu hakuwachagua maskini wa dunia wawe matajiri wa imani na warithi wa ufalme aliowaahidia wampendao?


Na Mchungaji mkuu atakapodhihirishwa, mtalipokea taji la utukufu, lile lisilokauka.


Na ukuta wa mji ulikuwa na misingi kumi na miwili, na katika ile misingi kulikuwa na majina kumi na mawili ya wale mitume kumi na wawili wa Mwana-kondoo.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo