Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Luka 20:8 - Swahili Revised Union Version

8 Yesu akawaambia, Wala mimi siwaambii ninyi ni kwa mamlaka gani ninatenda mambo haya.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

8 Yesu akawaambia, “Hata mimi sitawaambia ninafanya mambo haya kwa mamlaka gani.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

8 Yesu akawaambia, “Hata mimi sitawaambia ninafanya mambo haya kwa mamlaka gani.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

8 Yesu akawaambia, “Hata mimi sitawaambia ninafanya mambo haya kwa mamlaka gani.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

8 Isa akawaambia, “Wala mimi sitawaambia ni kwa mamlaka gani ninatenda mambo haya.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

8 Isa akawaambia, “Wala mimi sitawaambia ni kwa mamlaka gani ninatenda mambo haya.”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

8 Yesu akawaambia, Wala mimi siwaambii ninyi ni kwa mamlaka gani ninatenda mambo haya.

Tazama sura Nakili




Luka 20:8
9 Marejeleo ya Msalaba  

Waacheni; hao ni viongozi vipofu wa vipofu. Na kipofu akimwongoza kipofu mwenzake, watatumbukia shimoni wote wawili.


Kizazi kibaya na cha zinaa chataka ishara; wala hakitapewa ishara, isipokuwa ishara ya Yona. Akawaacha, akaenda zake.


Wakamjibu Yesu wakasema, Hatujui. Naye akawaambia, Wala mimi siwaambii ninyi ni kwa mamlaka gani ninatenda haya.


Wakamjibu Yesu, wakasema, Hatujui. Yesu akawaambia, Wala mimi siwaambii ninyi ni kwa mamlaka gani nayatenda haya.


Wakajibu, kwamba, Hatujui ulikotoka.


Akaanza kuwaambia watu mfano huu; Mtu mmoja alipanda shamba la mizabibu; akakondisha wakulima, akaenda akakaa katika nchi nyingine muda mrefu.


Tena, nikiwauliza, hamtajibu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo