Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Luka 20:7 - Swahili Revised Union Version

7 Wakajibu, kwamba, Hatujui ulikotoka.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

7 Basi, wakamwambia, “Hatujui mamlaka hayo yalitoka wapi.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

7 Basi, wakamwambia, “Hatujui mamlaka hayo yalitoka wapi.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

7 Basi, wakamwambia, “Hatujui mamlaka hayo yalitoka wapi.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

7 Basi wakajibu, “Hatujui ulikotoka.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

7 Basi wakajibu, “Hatujui ulikotoka.”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

7 Wakajibu, kwamba, Hatujui ulikotoka.

Tazama sura Nakili




Luka 20:7
18 Marejeleo ya Msalaba  

BWANA, mkono wako umeinuliwa, lakini hawaoni; lakini watauona wivu wako kwa ajili ya watu wako, nao watatahayari; naam, moto utawala adui zako.


kwa sababu hiyo mimi nitafanya tena kazi ya ajabu kati ya watu hawa, kazi ya ajabu na mwujiza; na akili za watu wao wenye akili zitapotea, na ufahamu wa wenye busara wao utafichwa.


Na nitazamapo, hapana mtu, hata katika watu hao hapana mshauri mmoja, ambaye, nikimwuliza, aweza kunijibu neno.


Hawajui wala hawafikiri; maana amewafumba macho, wasione, na mioyo yao, wasiweze kufahamu.


BWANA akaniambia, Jitwalie tena vyombo vya mchungaji mpumbavu.


Ole wake mchungaji asiyefaa, aliachaye kundi! Upanga utakuwa juu ya mkono wake, na juu ya jicho lake la kulia; mkono wake utakuwa umekauka kabisa, na jicho lake la kulia litakuwa limepofuka.


Na tukisema ulitoka kwa wanadamu, watu wote watatupiga kwa mawe, kwa kuwa wamemkubali Yohana kuwa ni nabii.


Yesu akawaambia, Wala mimi siwaambii ninyi ni kwa mamlaka gani ninatenda mambo haya.


Yesu akasema, Mimi nimekuja ulimwenguni humu kwa hukumu, ili wao wasioona waone, nao wanaoona wawe vipofu.


Mkijua kwanza neno hili ya kwamba katika siku za mwisho watakuja na dhihaka zao watu wenye kudhihaki, wafuatao tamaa zao wenyewe,


Tufuate:

Matangazo


Matangazo