Luka 2:24 - Swahili Revised Union Version24 wakatoe na sadaka, kama ilivyonenwa katika sheria ya Bwana, Hua wawili au makinda ya njiwa wawili. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema24 Pia walikwenda ili watoe sadaka: Hua wawili au makinda mawili ya njiwa, kama ilivyotakiwa katika sheria ya Bwana. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND24 Pia walikwenda ili watoe sadaka: Hua wawili au makinda mawili ya njiwa, kama ilivyotakiwa katika sheria ya Bwana. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza24 Pia walikwenda ili watoe sadaka: hua wawili au makinda mawili ya njiwa, kama ilivyotakiwa katika sheria ya Bwana. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu24 na pia kutoa dhabihu kulingana na yale yaliyonenwa katika Torati ya Mwenyezi Mungu: “Hua wawili au makinda wawili wa njiwa”. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu24 na pia kutoa dhabihu kulingana na yale yaliyonenwa katika Torati ya Bwana Mwenyezi: “Hua wawili au makinda mawili ya njiwa.” Tazama suraBIBLIA KISWAHILI24 wakatoe na sadaka, kama ilivyonenwa katika sheria ya Bwana, Hua wawili au makinda ya njiwa wawili. Tazama sura |