Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Luka 2:23 - Swahili Revised Union Version

23 (kama ilivyoandikwa katika sheria ya Bwana, Kila mtoto wa kiume aliye kifungua mimba wa mamaye na aitwe mtakatifu kwa Bwana),

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

23 Katika sheria ya Bwana imeandikwa: “Kila mzaliwa wa kwanza wa kiume atawekwa wakfu kwa Bwana.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

23 Katika sheria ya Bwana imeandikwa: “Kila mzaliwa wa kwanza wa kiume atawekwa wakfu kwa Bwana.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

23 Katika sheria ya Bwana imeandikwa: “Kila mzaliwa wa kwanza wa kiume atawekwa wakfu kwa Bwana.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

23 (kama ilivyoandikwa katika Torati ya Mwenyezi Mungu, kwamba, “Kila mtoto wa kiume kifungua mimba atawekwa wakfu kwa Mwenyezi Mungu”),

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

23 (kama ilivyoandikwa katika Torati ya Bwana Mwenyezi, kwamba, “Kila mtoto wa kiume kifungua mimba atawekwa wakfu kwa Bwana Mwenyezi Mungu”),

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

23 (kama ilivyoandikwa katika sheria ya Bwana, Kila mtoto wa kiume aliye kifungua mimba wa mamaye na aitwe mtakatifu kwa Bwana),

Tazama sura Nakili




Luka 2:23
7 Marejeleo ya Msalaba  

Nitakasie mimi wazaliwa wa kwanza wote, kila afunguaye tumbo katika wana wa Israeli, wa binadamu na wa mnyama; ni wangu huyo.


Usikawie kuleta malimbuko ya matunda yako na ya vinywaji vyako. Mzaliwa wa kwanza katika wanao wanaume utanipa mimi.


Kila kifunguacho mimba ni changu mimi; na wanyama wako wote walio wa kiume, wazaliwa wa kwanza wa ng'ombe na wa kondoo.


Kila kifunguacho tumbo, cha wenye mwili wote watakachomsogezea BWANA cha wanadamu na cha wanyama, ni chako; lakini mzaliwa wa kwanza wa binadamu, huna budi utamkomboa, na mzaliwa wa kwanza wa wanyama wasio safi utamkomboa.


kwa kuwa hao wazaliwa wa kwanza wote ni wangu; katika siku ile niliyowapiga wazaliwa wa kwanza wote katika nchi ya Misri nikajiwekea wakfu wazaliwa wa kwanza wote wa Israeli, wa wanadamu na wa wanyama; watakuwa wangu; mimi ndimi BWANA.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo