Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Luka 19:31 - Swahili Revised Union Version

31 Na kama mtu akiwauliza, Mbona mnamfungua? Semeni hivi, Bwana anamhitaji.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

31 Kama mtu akiwauliza kwa nini mnamfungua, mwambieni, ‘Bwana anamhitaji.’”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

31 Kama mtu akiwauliza kwa nini mnamfungua, mwambieni, ‘Bwana anamhitaji.’”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

31 Kama mtu akiwauliza kwa nini mnamfungua, mwambieni, ‘Bwana anamhitaji.’”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

31 Kama mtu akiwauliza, ‘Mbona mnamfungua?’ Mwambieni, ‘Bwana anamhitaji.’ ”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

31 Kama mtu akiwauliza, ‘Mbona mnamfungua?’ Mwambieni, ‘Bwana anamhitaji.’ ”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

31 Na kama mtu akiwauliza, Mbona mnamfungua? Semeni hivi, Bwana anamhitaji.

Tazama sura Nakili




Luka 19:31
7 Marejeleo ya Msalaba  

Nchi na vyote vilivyomo ni mali ya BWANA, Dunia na wote wakaao ndani yake.


akisema, Nendeni mpaka katika kijiji kile kinachowakabili, na mtakapoingia ndani mtaona mwanapunda, amefungwa, ambaye hajapandwa na mtu yeyote bado, mfungueni mkamlete hapa.


Na wale waliotumwa wakaenda wakaona kama alivyowaambia.


Neno lile alilowapelekea wana wa Israeli akihubiri Habari Njema ya amani kwa Yesu Kristo (ndiye Bwana wa wote),


Tufuate:

Matangazo


Matangazo