Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Luka 19:30 - Swahili Revised Union Version

30 akisema, Nendeni mpaka katika kijiji kile kinachowakabili, na mtakapoingia ndani mtaona mwanapunda, amefungwa, ambaye hajapandwa na mtu yeyote bado, mfungueni mkamlete hapa.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

30 akawaambia: “Nendeni katika kijiji kilicho mbele yenu. Mtakapokuwa mnaingia kijijini, mtamkuta mwanapunda amefungwa ambaye hajatumiwa na mtu. Mfungueni, mkamlete hapa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

30 akawaambia: “Nendeni katika kijiji kilicho mbele yenu. Mtakapokuwa mnaingia kijijini, mtamkuta mwanapunda amefungwa ambaye hajatumiwa na mtu. Mfungueni, mkamlete hapa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

30 akawaambia: “Nendeni katika kijiji kilicho mbele yenu. Mtakapokuwa mnaingia kijijini, mtamkuta mwanapunda amefungwa ambaye hajatumiwa na mtu. Mfungueni, mkamlete hapa.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

30 “Nendeni katika kijiji kilichoko mbele yenu. Na mtakapokuwa mnaingia kijijini, mtampata mwana-punda amefungwa hapo, ambaye hajapandwa na mtu bado. Mfungueni, mkamlete hapa.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

30 “Nendeni katika kijiji kilichoko mbele yenu. Na mtakapokuwa mnaingia kijijini, mtamkuta mwana-punda amefungwa hapo, ambaye hajapandwa na mtu bado. Mfungueni, mkamlete hapa.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

30 akisema, Nendeni mpaka katika kijiji kile kinachowakabili, na mtakapoingia ndani mtaona mwanapunda, amefungwa, ambaye hajapandwa na mtu yeyote bado, mfungueni mkamlete hapa.

Tazama sura Nakili




Luka 19:30
7 Marejeleo ya Msalaba  

Nendeni katika kijiji kile kinachowakabili, na mara mtaona punda amefungwa, na mwanapunda pamoja naye; wafungueni mniletee.


Ikawa alipokaribia Bethfage na Bethania, kwenye mlima uitwao wa Mizeituni, alituma wawili katika wale wanafunzi,


Na kama mtu akiwauliza, Mbona mnamfungua? Semeni hivi, Bwana anamhitaji.


Na wale waliotumwa wakaenda wakaona kama alivyowaambia.


Na sasa nimewaambia kabla halijatokea, ili litakapotokea mpate kuamini.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo