Luka 18:9 - Swahili Revised Union Version9 Akawaambia mfano huu watu waliojiamini ya kuwa wao ni wenye haki, wakiwadharau wengine wote. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema9 Halafu Yesu aliwaambia pia mfano wale ambao walijiona kuwa wema na kuwadharau wengine. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND9 Halafu Yesu aliwaambia pia mfano wale ambao walijiona kuwa wema na kuwadharau wengine. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza9 Halafu Yesu aliwaambia pia mfano wale ambao walijiona kuwa wema na kuwadharau wengine. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu9 Isa akatoa mfano huu kwa wale waliojiamini kuwa wao ni wenye haki na kuwadharau wengine: Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu9 Isa akatoa mfano huu kwa wale waliojiamini kuwa wao ni wenye haki na kuwadharau wengine: Tazama suraBIBLIA KISWAHILI9 Akawaambia mfano huu watu waliojiamini ya kuwa wao ni wenye haki, wakiwadharau wengine wote. Tazama sura |