Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Luka 18:39 - Swahili Revised Union Version

39 Basi wale waliotangulia wakamkemea ili anyamaze; lakini yeye alizidi sana kupaza sauti, Ee Mwana wa Daudi, unirehemu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

39 Wale watu waliotangulia wakamkemea wakimwambia anyamaze; lakini yeye akazidi kupaza sauti: “Mwana wa Daudi, nihurumie!”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

39 Wale watu waliotangulia wakamkemea wakimwambia anyamaze; lakini yeye akazidi kupaza sauti: “Mwana wa Daudi, nihurumie!”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

39 Wale watu waliotangulia wakamkemea wakimwambia anyamaze; lakini yeye akazidi kupaza sauti: “Mwana wa Daudi, nihurumie!”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

39 Wale waliokuwa wametangulia mbele wakamkemea, wakamwambia akae kimya. Lakini yeye akapaza sauti zaidi, “Mwana wa Daudi, nihurumie!”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

39 Wale waliokuwa wametangulia mbele wakamkemea, wakamwambia akae kimya. Lakini yeye akapaza sauti zaidi, “Mwana wa Daudi, nihurumie!”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

39 Basi wale waliotangulia wakamkemea ili anyamaze; lakini yeye alizidi sana kupaza sauti, Ee Mwana wa Daudi, unirehemu.

Tazama sura Nakili




Luka 18:39
16 Marejeleo ya Msalaba  

Ee BWANA, nimekuita, unijie hima, Uisikie sauti yangu nikuitapo.


Ombeni, nanyi mtapewa; tafuteni, nanyi mtaona; bisheni, nanyi mtafunguliwa;


Akawaambia, Mbona mmekuwa waoga, enyi wa imani haba? Mara akaondoka, akazikemea pepo na bahari; kukawa shwari kuu.


Yesu alipokuwa akipita kutoka huko, vipofu wawili wakamfuata wakipaza sauti, wakisema, Uturehemu, Mwana wa Daudi.


Ole wenu, enyi wanasheria, kwa kuwa mmeuondoa ufunguo wa maarifa; wenyewe hamkuingia, na wale waliokuwa wakiingia mmewazuia.


Akawaambia mfano, ya kwamba imewapasa kumwomba Mungu sikuzote, wala wasikate tamaa.


Wakamletea na watoto wachanga ili awaguse; lakini wanafunzi walipoona waliwakemea.


Akapiga kelele, akisema, Yesu, Mwana wa Daudi, unirehemu.


Yesu akasimama, akaamuru aletwe kwake; na alipomkaribia, alimwuliza,


Baadhi ya Mafarisayo waliokuwa katika mkutano wakamwambia, Mwalimu, uwakanye wanafunzi wako.


Alipokuwa akinena hayo, alikuja mtu kutoka nyumbani kwa yule mkuu wa sinagogi, akamwambia, Binti yako amekwisha kufa; usimsumbue mwalimu.


Kwa ajili ya kitu hicho nilimsihi Bwana mara tatu kwamba kinitoke.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo