Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Luka 18:24 - Swahili Revised Union Version

24 Yesu alipoona vile alisema, Kwa shida gani wenye mali watauingia ufalme wa Mungu!

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

24 Yesu alipoona akihuzunika hivyo, akasema, “Jinsi gani ilivyo vigumu kwa matajiri kuingia katika ufalme wa Mungu!

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

24 Yesu alipoona akihuzunika hivyo, akasema, “Jinsi gani ilivyo vigumu kwa matajiri kuingia katika ufalme wa Mungu!

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

24 Yesu alipoona akihuzunika hivyo, akasema, “Jinsi gani ilivyo vigumu kwa matajiri kuingia katika ufalme wa Mungu!

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

24 Isa akamtazama, akasema, “Tazama jinsi ilivyo vigumu kwa tajiri kuingia katika ufalme wa Mungu!

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

24 Isa akamtazama, akasema, “Tazama jinsi ilivyo vigumu kwa tajiri kuingia katika Ufalme wa Mwenyezi Mungu!

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

24 Yesu alipoona vile alisema, Kwa shida gani wenye mali watauingia ufalme wa Mungu!

Tazama sura Nakili




Luka 18:24
18 Marejeleo ya Msalaba  

Maana mdhalimu hujisifia tamaa ya nafsi yake, Na mwenye choyo humkana BWANA na kumdharau.


Azitegemeaye mali zake ataanguka; Mwenye haki atasitawi kama jani.


Mali ya mtu tajiri ni mji wake wa nguvu; Ni kama ukuta mrefu katika mawazo yake.


Nisije nikashiba nikakukana, Nikasema, BWANA ni nani? Wala nisiwe maskini sana nikaiba, Na kulitaja bure jina la Mungu wangu.


Ee kizazi litazameni neno la BWANA. Je! Nimekuwa jangwa kwa Israeli? Au nchi yenye giza kuu? Mbona watu wangu wanasema, Sisi tumetoroka, hatutaki kuja kwako tena?


nitawaendea watu wakubwa, nami nitasema nao; kwa maana hao wanaijua njia ya BWANA, na hukumu ya Mungu wao. Bali hawa kwa nia moja wameivunja nira, na kuvikata vifungo.


Mfalme akahuzunika sana, lakini kwa ajili ya viapo vyake, na kwa ajili ya hao walioketi karamuni, hakutaka kumkatalia.


Lakini aliposikia hayo alihuzunika sana, maana alikuwa na mali nyingi.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo