Luka 18:23 - Swahili Revised Union Version23 Lakini aliposikia hayo alihuzunika sana, maana alikuwa na mali nyingi. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema23 Lakini huyo mtu aliposikia hayo, alihuzunika sana kwa sababu alikuwa tajiri sana. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND23 Lakini huyo mtu aliposikia hayo, alihuzunika sana kwa sababu alikuwa tajiri sana. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza23 Lakini huyo mtu aliposikia hayo, alihuzunika sana kwa sababu alikuwa tajiri sana. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu23 Aliposikia jambo hili, alisikitika sana kwa maana alikuwa mtu mwenye mali nyingi. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu23 Aliposikia jambo hili, alisikitika sana kwa maana alikuwa mtu mwenye mali nyingi. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI23 Lakini aliposikia hayo alihuzunika sana, maana alikuwa na mali nyingi. Tazama sura |