Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Luka 14:8 - Swahili Revised Union Version

8 Ukialikwa na mtu arusini, usiketi katika kiti cha mbele; isiwe kwamba amealikwa mtu mwenye kustahiwa kuliko wewe,

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

8 “Kama mtu akikualika harusini, usiketi mahali pa heshima, isije ikawa amealikwa mwingine mheshimiwa kuliko wewe;

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

8 “Kama mtu akikualika harusini, usiketi mahali pa heshima, isije ikawa amealikwa mwingine mheshimiwa kuliko wewe;

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

8 “Kama mtu akikualika harusini, usiketi mahali pa heshima, isije ikawa amealikwa mwingine mheshimiwa kuliko wewe;

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

8 “Mtu akikualika arusini, usikae mahali pa mgeni wa heshima kwa kuwa inawezekana amealikwa mtu mheshimiwa kuliko wewe.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

8 “Mtu akikualika arusini, usikae mahali pa mgeni wa heshima kwa kuwa inawezekana amealikwa mtu mheshimiwa kuliko wewe.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

8 Ukialikwa na mtu harusini, usiketi katika kiti cha mbele; isiwe kwamba amealikwa mtu mwenye kustahiwa kuliko wewe,

Tazama sura Nakili




Luka 14:8
1 Marejeleo ya Msalaba  

Tufuate:

Matangazo


Matangazo