Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Luka 14:6 - Swahili Revised Union Version

6 Nao hawakuweza kujibu maneno haya.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

6 Nao hawakuweza kumjibu swali hilo.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

6 Nao hawakuweza kumjibu swali hilo.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

6 Nao hawakuweza kumjibu swali hilo.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

6 Nao hawakuwa na la kusema.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

6 Nao hawakuwa na la kusema.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

6 Nao hawakuweza kujibu maneno haya.

Tazama sura Nakili




Luka 14:6
6 Marejeleo ya Msalaba  

Wala hakuweza mtu kumjibu neno; wala hakuthubutu mtu yeyote tangu siku ile kumwuliza neno tena.


Aliposema haya wakatahayari wote walioshindana naye; mkutano wote wakafurahi kwa sababu ya mambo matukufu yaliyotendwa na yeye.


Wala hawakuweza kumshitaki kwa maneno yake mbele ya watu; wakastaajabia majibu yake, wakanyamaza.


wala hawakuthubutu kumwuliza neno baada ya hayo.


kwa sababu mimi nitawapa kinywa na hekima ambayo watesi wenu wote hawataweza kushindana nayo wala kuipinga.


lakini hawakuweza kushindana na hiyo hekima na huyo Roho aliyesema naye.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo