Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Luka 14:14 - Swahili Revised Union Version

14 nawe utakuwa heri, kwa kuwa hao hawana cha kukulipa; kwa maana utalipwa katika ufufuo wa wenye haki.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

14 nawe utakuwa umepata baraka, kwa kuwa hao hawana cha kukulipa. Maana Mungu atakupa tuzo lako wakati watu wema watakapofufuka.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

14 nawe utakuwa umepata baraka, kwa kuwa hao hawana cha kukulipa. Maana Mungu atakupa tuzo lako wakati watu wema watakapofufuka.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

14 nawe utakuwa umepata baraka, kwa kuwa hao hawana cha kukulipa. Maana Mungu atakupa tuzo lako wakati watu wema watakapofufuka.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

14 nawe utabarikiwa kwa sababu hawa hawana uwezo wa kukulipa. Mungu atakulipa wakati wa ufufuo wa wenye haki.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

14 nawe utabarikiwa kwa sababu hawa hawana uwezo wa kukulipa. Mungu atakulipa wakati wa ufufuo wa wenye haki.”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

14 nawe utakuwa heri, kwa kuwa hao hawana cha kukulipa; kwa maana utalipwa katika ufufuo wa wenye haki.

Tazama sura Nakili




Luka 14:14
11 Marejeleo ya Msalaba  

Amhurumiaye maskini humkopesha BWANA; Naye atamlipa kwa tendo lake jema.


sadaka yako iwe kwa siri; na Baba yako aonaye sirini atakujazi.


Bali ufanyapo karamu waite maskini, vilema, viwete, vipofu,


Nao watatoka; wale waliofanya mema kwa ufufuo wa uzima, na wale waliotenda mabaya kwa ufufuo wa hukumu.


Nina tumaini kwa Mungu, ambalo hata hao nao wanalitazamia, ya kwamba kutakuwa na ufufuo wa wafu, wenye haki na wasio haki pia.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo