Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Luka 11:38 - Swahili Revised Union Version

38 Farisayo huyo alipomwona, alistaajabu kwa sababu hakunawa kabla ya chakula.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

38 Huyo Mfarisayo alistaajabu kuona kwamba alikula chakula bila kunawa kwanza.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

38 Huyo Mfarisayo alistaajabu kuona kwamba alikula chakula bila kunawa kwanza.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

38 Huyo Mfarisayo alistaajabu kuona kwamba alikula chakula bila kunawa kwanza.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

38 Yule Farisayo akashangaa kwamba Isa hakunawa kwanza kabla ya kula.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

38 Yule Farisayo akashangaa kwamba Isa hakunawa kwanza kabla ya kula.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

38 Farisayo huyo alipomwona, alistaajabu kwa sababu hakunawa kabla ya chakula.

Tazama sura Nakili




Luka 11:38
5 Marejeleo ya Msalaba  

Yesu aliposikia hayo, alistaajabu, akawaambia wale waliomfuata, Amin, nawaambieni, Sijaona imani kubwa namna hii, kwa yeyote katika Israeli.


Alipokuwa akinena, Farisayo mmoja alimwita aje kwake ale chakula; akaingia, akaketi chakulani.


Basi palitokea mashindano ya wanafunzi wa Yohana na Myahudi mmoja juu ya utakaso.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo