Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Luka 11:37 - Swahili Revised Union Version

37 Alipokuwa akinena, Farisayo mmoja alimwita aje kwake ale chakula; akaingia, akaketi chakulani.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

37 Yesu alipokuwa akiongea, Mfarisayo mmoja alimkaribisha chakula nyumbani kwake, naye akaenda, akaketi kula chakula.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

37 Yesu alipokuwa akiongea, Mfarisayo mmoja alimkaribisha chakula nyumbani kwake, naye akaenda, akaketi kula chakula.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

37 Yesu alipokuwa akiongea, Mfarisayo mmoja alimkaribisha chakula nyumbani kwake, naye akaenda, akaketi kula chakula.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

37 Isa alipomaliza kuzungumza, Farisayo mmoja alimwalika nyumbani mwake kwa chakula. Isa akaingia na kuketi katika sehemu yake mezani.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

37 Isa alipomaliza kuzungumza, Farisayo mmoja alimwalika nyumbani mwake kwa chakula. Isa akaingia na kuketi katika sehemu yake mezani.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

37 Alipokuwa akinena, Farisayo mmoja alimwita aje kwake ale chakula; akaingia, akaketi chakulani.

Tazama sura Nakili




Luka 11:37
5 Marejeleo ya Msalaba  

Basi kama mwanga umeenea katika mwili wako wote, wala hauna sehemu iliyo na giza, mwili wako wote utakuwa na mwanga mtupu; kama vile taa ikumulikiapo kwa mwanga wake.


Farisayo huyo alipomwona, alistaajabu kwa sababu hakunawa kabla ya chakula.


Ikawa alipoingia ndani ya nyumba ya mtu mmoja miongoni mwa wakuu wa Mafarisayo siku ya sabato, ale chakula, walikuwa wakimvizia.


Mtu mmoja katika Mafarisayo alimwalika ale chakula kwake; akaingia katika nyumba yake yule Farisayo, akaketi chakulani.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo