Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Luka 11:21 - Swahili Revised Union Version

21 Mtu mwenye nguvu aliyejifunga silaha zake, alindapo nyumba yake, vitu vyake viko salama;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

21 “Mtu mwenye nguvu anapolinda jumba lake kwa silaha, mali yake yote iko salama.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

21 “Mtu mwenye nguvu anapolinda jumba lake kwa silaha, mali yake yote iko salama.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

21 “Mtu mwenye nguvu anapolinda jumba lake kwa silaha, mali yake yote iko salama.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

21 “Mtu mwenye nguvu aliyejifunga silaha anapoilinda nyumba yake, mali yake iko salama.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

21 “Mtu mwenye nguvu aliyejifunga silaha anapoilinda nyumba yake, mali yake iko salama.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

21 Mtu mwenye nguvu aliyejifunga silaha zake, alindapo nyumba yake, vitu vyake viko salama;

Tazama sura Nakili




Luka 11:21
5 Marejeleo ya Msalaba  

Je! Aliye hodari aweza kunyang'anywa mateka wake, au mateka wa mtu katili kuokoka?


Ama awezaje mtu kuingia ndani ya nyumba ya mtu mwenye nguvu na kuviteka vyombo vyake, asipomfunga kwanza yule mwenye nguvu? Ndipo atakapoiteka nyumba yake.


Hawezi mtu kuingia ndani ya nyumba ya mtu mwenye nguvu, na kuviteka vitu vyake, asipomfunga kwanza yule mwenye nguvu; ndipo atakapoiteka nyumba yake.


Lakini, ikiwa mimi natoa pepo kwa kidole cha Mungu, basi ufalme wa Mungu umekwisha kuwajia.


lakini mtu mwenye nguvu kuliko yeye atakapomwendea na kumshinda, amnyang'anya silaha zake zote alizokuwa akizitegemea, na kuyagawanya mateka yake.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo