Luka 11:20 - Swahili Revised Union Version20 Lakini, ikiwa mimi natoa pepo kwa kidole cha Mungu, basi ufalme wa Mungu umekwisha kuwajia. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema20 Lakini ikiwa ninafukuza pepo kwa uwezo wa Mungu, basi jueni kwamba ufalme wa Mungu umekwisha fika kwenu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND20 Lakini ikiwa ninafukuza pepo kwa uwezo wa Mungu, basi jueni kwamba ufalme wa Mungu umekwisha fika kwenu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza20 Lakini ikiwa ninafukuza pepo kwa uwezo wa Mungu, basi jueni kwamba ufalme wa Mungu umekwisha fika kwenu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu20 Lakini kama mimi ninatoa pepo wachafu kwa kidole cha Mungu, basi ufalme wa Mungu umewajia. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu20 Lakini kama mimi ninatoa pepo wachafu kwa kidole cha Mungu, basi Ufalme wa Mwenyezi Mungu umewajia. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI20 Lakini, ikiwa mimi natoa pepo kwa kidole cha Mungu, basi ufalme wa Mungu umekwisha kuwajia. Tazama sura |