Kutoka 4:2 - Swahili Revised Union Version2 BWANA akamwambia, Ni nini hiyo uliyo nayo mkononi mwako? Akasema, Ni fimbo. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema2 Hapo Mwenyezi-Mungu akamwambia Mose, “Unashika nini mkononi mwako?” Mose akamwambia, “Fimbo.” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND2 Hapo Mwenyezi-Mungu akamwambia Mose, “Unashika nini mkononi mwako?” Mose akamwambia, “Fimbo.” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza2 Hapo Mwenyezi-Mungu akamwambia Mose, “Unashika nini mkononi mwako?” Mose akamwambia, “Fimbo.” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu2 Ndipo Mwenyezi Mungu akamuuliza, “Ni nini hicho kilicho mkononi mwako?” Akamjibu, “Ni fimbo.” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu2 Ndipo bwana akamwambia, “Ni nini hicho kilicho mkononi mwako?” Akajibu, “Fimbo.” Tazama suraBIBLIA KISWAHILI2 BWANA akamwambia, Ni nini hiyo uliyo nayo mkononi mwako? Akasema, Ni fimbo. Tazama sura |