Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Kutoka 26:3 - Swahili Revised Union Version

3 Mapazia matano yataungwa pamoja, hili na hili; na mapazia matano mengine yataungwa pamoja, hili na hili.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

3 Utaunganisha mapazia matano yawe kipande kimoja na mapazia mengine matano yawe kipande cha pili.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

3 Utaunganisha mapazia matano yawe kipande kimoja na mapazia mengine matano yawe kipande cha pili.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

3 Utaunganisha mapazia matano yawe kipande kimoja na mapazia mengine matano yawe kipande cha pili.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

3 Unganisha mapazia matano pamoja; fanya vivyo hivyo kwa hayo mengine matano.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

3 Unganisha mapazia matano pamoja; fanya vivyo hivyo kwa hayo mengine matano.

Tazama sura Nakili




Kutoka 26:3
12 Marejeleo ya Msalaba  

Urefu wa kila pazia utakuwa dhiraa ishirini na nane, na upana wa kila pazia utakuwa dhiraa nne; mapazia yote yatakuwa ya kipimo kimoja.


Kisha utafanya tanzi za rangi ya samawati upande wa mwisho wa pazia moja katika ule upindo wa fungu lake, vivyo hivyo utafanya upande wa mwisho wa ile pazia iliyo, katika fungu la pili.


Kisha utaunganisha mapazia matano mbali, na mapazia sita mbali, na lile pazia la sita utalikunja hapo upande wa mbele wa ile hema.


Naye akaunganisha mapazia matano hili na hili; na mapazia matano mengine akayaunganisha hili na hili.


Wote wawe na umoja; kama wewe, Baba, ulivyo ndani yangu, nami ndani yako; hao nao wawe ndani yetu; ili ulimwengu upate kusadiki ya kwamba wewe ndiwe uliyenituma.


Basi kuna karama tofauti; bali Roho ni yeye yule.


Katika yeye mwili wote ukiungamanishwa na kushikanishwa kwa msaada wa kila kiungo, kwa kadiri ya utendaji wa kila sehemu moja moja, huukuza mwili upate kujijenga wenyewe katika upendo.


wala hakishiki Kichwa, ambacho kwa yeye mwili wote ukineemeshwa na kuungamanishwa kwa viungo na mishipa, hukua kama atakavyo Mungu.


ili wafarijiwe mioyo yao, wakiunganishwa katika upendo, wakapate utajiri wote wa kufahamu kwa hakika, wapate kujua kabisa siri ya Mungu, yaani, Kristo;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo