Isaya 7:20 - Swahili Revised Union Version20 Katika siku hiyo Bwana atanyoa kichwa na malaika ya miguuni, kwa wembe ulioajiriwa pande za ng'ambo ya Mto, yaani, kwa mfalme wa Ashuru, nao utaziondoa ndevu pia. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema20 Wakati huo, Bwana atakopa wembe kutoka ngambo ya mto Eufrate, yaani mfalme wa Ashuru. Atawanyoa vichwa vyenu, miili yenu na kukatilia mbali pia ndevu zenu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND20 Wakati huo, Bwana atakopa wembe kutoka ngambo ya mto Eufrate, yaani mfalme wa Ashuru. Atawanyoa vichwa vyenu, miili yenu na kukatilia mbali pia ndevu zenu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza20 Wakati huo, Bwana atakopa wembe kutoka ng'ambo ya mto Eufrate, yaani mfalme wa Ashuru. Atawanyoa vichwa vyenu, miili yenu na kukatilia mbali pia ndevu zenu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu20 Katika siku ile Bwana atatumia wembe ulioajiriwa kutoka ng’ambo ya Mto, yaani mfalme wa Ashuru, kunyoa nywele za kichwa chako na malaika ya miguu yako, na kuziondoa ndevu zako pia. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu20 Katika siku ile Bwana atatumia wembe ulioajiriwa kutoka ng’ambo ya Mto, yaani mfalme wa Ashuru, kunyoa nywele za kichwa chako na malaika ya miguu yako, na kuziondoa ndevu zako pia. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI20 Katika siku hiyo Bwana atanyoa kichwa na malaika ya miguuni, kwa wembe ulioajiriwa pande za ng'ambo ya Mto, yaani, kwa mfalme wa Ashuru, nao utaziondoa ndevu pia. Tazama sura |