Isaya 42:21 - Swahili Revised Union Version21 BWANA akapendezwa, kwa ajili ya haki yake, kuitukuza sheria, na kuiadhimisha. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema21 Mwenyezi-Mungu, kwa ajili ya uaminifu wake, alipenda kukuza mwongozo wake na kuutukuza. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND21 Mwenyezi-Mungu, kwa ajili ya uaminifu wake, alipenda kukuza mwongozo wake na kuutukuza. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza21 Mwenyezi-Mungu, kwa ajili ya uaminifu wake, alipenda kukuza mwongozo wake na kuutukuza. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu21 Ilimpendeza Mwenyezi Mungu kwa ajili ya haki yake kufanya sheria yake kuwa kuu na tukufu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu21 Ilimpendeza bwana kwa ajili ya haki yake kufanya sheria yake kuwa kuu na tukufu. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI21 BWANA akapendezwa, kwa ajili ya haki yake, kuitukuza sheria, na kuiadhimisha. Tazama sura |