Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Isaya 42:2 - Swahili Revised Union Version

2 Hatalia, wala hatapaza sauti yake, wala kuifanya isikiwe katika njia kuu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

2 Hatalia wala hatapiga kelele, wala hatapaza sauti yake barabarani.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

2 Hatalia wala hatapiga kelele, wala hatapaza sauti yake barabarani.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

2 Hatalia wala hatapiga kelele, wala hatapaza sauti yake barabarani.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

2 Hatapaza sauti wala kupiga kelele, wala hataipaza sauti yake barabarani.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

2 Hatapaza sauti wala kupiga kelele, wala hataiinua sauti yake barabarani.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

2 Hatalia, wala hatapaza sauti yake, wala kuifanya isikiwe katika njia kuu.

Tazama sura Nakili




Isaya 42:2
8 Marejeleo ya Msalaba  

Tazama mtumishi wangu nimtegemezaye; mteule wangu, ambaye nafsi yangu imependezwa naye; nimetia roho yangu juu yake; naye atawatolea mataifa hukumu.


Mwanzi uliopondeka hatauvunja, wala utambi utokao moshi hatauzima; atatoa hukumu kwa uaminifu.


Furahi sana, Ee binti Sayuni; Piga kelele, Ee binti Yerusalemu; Tazama, mfalme wako anakuja kwako; Ni mwenye haki, naye ana wokovu; Ni mnyenyekevu, amepanda punda, Naam, mwanapunda, mtoto wa punda.


Jitieni nira yangu, mjifunze kwangu; kwa kuwa mimi ni mpole na mnyenyekevu wa moyo; nanyi mtapata raha nafsini mwenu;


Na alipoulizwa na Mafarisayo, Ufalme wa Mungu utakuja lini? Aliwajibu akawaambia, ufalme wa Mungu hauji kwa kuuchunguza;


Tena haimpasi mtumwa wa Bwana kuwa mgomvi; bali kuwa mwanana kwa watu wote, awezaye kufundisha, mvumilivu;


Yeye alipotukanwa, hakurudisha matukano; alipoteswa, hakutisha; bali alijikabidhi kwake yeye ahukumuye kwa haki.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo