Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Isaya 41:6 - Swahili Revised Union Version

6 Wakasaidiana, kila mtu na mwenzake, kila mtu akamwambia ndugu yake; Jipe moyo.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

6 Kila mmoja anamhimiza mwenzake akisema, ‘Haya! Jipe moyo!’

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

6 Kila mmoja anamhimiza mwenzake akisema, ‘Haya! Jipe moyo!’

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

6 Kila mmoja anamhimiza mwenzake akisema, ‘Haya! Jipe moyo!’

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

6 kila mmoja humsaidia mwingine na kusema kwa ndugu yake, “Uwe hodari!”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

6 kila mmoja humsaidia mwingine na kusema kwa ndugu yake, “Uwe hodari!”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

6 Wakasaidiana, kila mtu na mwenzake, kila mtu akamwambia ndugu yake; Jipe moyo.

Tazama sura Nakili




Isaya 41:6
10 Marejeleo ya Msalaba  

Waambieni walio na moyo wa hofu, Jipeni moyo, msiogope; tazama, Mungu wenu atakuja na kisasi, na malipo ya Mungu; atakuja na kuwaokoa ninyi.


Sanamu! Fundi mmoja huiyeyusha, na mfua dhahabu huifunika dhahabu, huifulia mikufu ya fedha.


Visiwa vimeona, vikaogopa; ncha za dunia zilitetemeka; walikaribia, walikuja.


Seremala akamtia moyo mfua dhahabu, na yeye alainishaye kwa nyundo akamhimiza yule apigaye fuawe, akiisifu kazi ya kuunga, akisema, Ni kazi njema; naye akaikaza kwa misumari isitikisike.


Mfua chuma hufanza shoka, hufanya kazi kwa makaa, huitengeneza sanamu kwa nyundo, huifanyiza kwa nguvu za mkono wake; naam, huona njaa, nguvu zake zikampungukia; asipokunywa maji huzimia.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo