Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Isaya 40:23 - Swahili Revised Union Version

23 ndiye awatanguaye wakuu, na kuwabatilisha waamuzi wa dunia.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

23 Yeye huwaporomosha wakuu wenye nguvu, watawala wa dunia huwafanya kuwa si kitu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

23 Yeye huwaporomosha wakuu wenye nguvu, watawala wa dunia huwafanya kuwa si kitu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

23 Yeye huwaporomosha wakuu wenye nguvu, watawala wa dunia huwafanya kuwa si kitu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

23 Huwafanya wakuu kuwa si kitu, na kuwashusha watawala wa dunia hii kuwa kitu bure.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

23 Huwafanya wakuu kuwa si kitu, na kuwashusha watawala wa dunia hii kuwa kitu bure.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

23 ndiye awatanguaye wakuu, na kuwabatilisha waamuzi wa dunia.

Tazama sura Nakili




Isaya 40:23
16 Marejeleo ya Msalaba  

Yeye huwaondoa makuhani wakiwa wamevuliwa nguo. Na kuwapindua mashujaa.


Humwaga aibu juu ya hao wakuu, Na kulegeza mshipi wa wenye nguvu.


Aliwamwagia wakuu dharau, Na kuwazungusha katika nyika isiyo na njia.


Yeye huzikata roho za wakuu; Na kuwatisha wafalme wa dunia.


Macho ya mwanadamu yaliyoinuka yatashushwa chini, na kiburi cha mwanadamu kitainamishwa, naye BWANA, yeye peke yake, atatukuzwa siku hiyo.


Kwa maana kutakuwa siku ya BWANA wa majeshi juu ya watu wote wenye kiburi na majivuno, na juu ya yote yaliyoinuka; nayo yatashushwa chini.


BWANA wa majeshi ndiye aliyefanya shauri hili, ili kuharibu kiburi cha utukufu wote, na kuwaaibisha watu wa duniani wote pia.


Watawaitia wakuu wake ufalme, lakini hawatakuwapo; wakuu wake wote wamekuwa si kitu.


Ole wao walio na hekima katika macho yao wenyewe, na wenye busara katika fikira zao wenyewe!


nami nitamkatilia mbali mwamuzi atoke kati yake, nami nitawaua wakuu wake pamoja naye, asema BWANA.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo