Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Isaya 38:9 - Swahili Revised Union Version

9 Haya ndiyo maandiko ya Hezekia, mfalme wa Yuda, alipokuwa mgonjwa, naye akapona ugonjwa wake.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

9 Kisha mfalme Hezekia alipopona, akatunga wimbo huu wa shukrani:

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

9 Kisha mfalme Hezekia alipopona, akatunga wimbo huu wa shukrani:

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

9 Kisha mfalme Hezekia alipopona, akatunga wimbo huu wa shukrani:

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

9 Maandiko ya Hezekia mfalme wa Yuda baada ya kuugua kwake na kupona:

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

9 Maandiko ya Hezekia mfalme wa Yuda baada ya kuugua kwake na kupona:

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

9 Haya ndiyo maandiko ya Hezekia, mfalme wa Yuda, alipokuwa mgonjwa, naye akapona ugonjwa wake.

Tazama sura Nakili




Isaya 38:9
16 Marejeleo ya Msalaba  

Tena Hezekia mfalme na wakuu wakawaamuru Walawi, wamwimbie BWANA sifa kwa maneno ya Daudi, na ya Asafu mwonaji. Wakaimba sifa kwa furaha, wakainamisha vichwa, wakaabudu.


Kwani yeye huumiza, lakini tena huuguza; Yeye hutia jeraha, na mikono yake huponya.


Wewe, BWANA, nguvu yangu, nakupenda sana;


Nilisema, Katika usitawi wa siku zangu nitakwenda kuingia malango ya kuzimu; Nimenyimwa mabaki ya miaka yangu.


Tazama, nitakirudisha nyuma kivuli madaraja kumi, ambayo kilishuka juu ya duara ya Ahazi kwa sababu ya jua. Basi jua likarudi madaraja kumi katika hiyo duara, ambayo limekwisha kushuka.


Fahamu sasa ya kuwa Mimi, naam, Mimi ndiye, Wala hapana Mungu mwingine ila Mimi; Naua Mimi, nahuisha Mimi, Nimejeruhi, tena naponya; Wala hapana awezaye kuokoa katika mkono wangu,


Tufuate:

Matangazo


Matangazo