Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Isaya 38:2 - Swahili Revised Union Version

2 Basi Hezekia akajigeuza, akaelekeza uso wake ukutani, akamwomba BWANA,

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

2 Hezekia akageukia upande wa ukuta na kumwomba Mwenyezi-Mungu,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

2 Hezekia akageukia upande wa ukuta na kumwomba Mwenyezi-Mungu,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

2 Hezekia akageukia upande wa ukuta na kumwomba Mwenyezi-Mungu,

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

2 Hezekia akaelekeza uso wake ukutani, akamwomba Mwenyezi Mungu:

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

2 Hezekia akaelekeza uso wake ukutani, akamwomba bwana:

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

2 Basi Hezekia akajigeuza, akaelekeza uso wake ukutani, akamwomba BWANA,

Tazama sura Nakili




Isaya 38:2
6 Marejeleo ya Msalaba  

Uisikie dua ya mtumwa wako, na ya watu wako Israeli, watakapoomba wakikabili mahali hapa; naam, sikia huko mbinguni, makao yako; nawe usikiapo, samehe.


Uniite siku ya mateso; Nitakuokoa, nawe utanitukuza.


Ataniita nami nitamwitikia; Nitakuwa pamoja naye taabuni, Nitamwokoa na kumtukuza;


Siku hizo Hezekia aliugua, akawa karibu kufa; na Isaya nabii, mwana wa Amozi, akaenda kwa mfalme, akamwambia, BWANA asema hivi, Tengeneza mambo ya nyumba yako; maana utakufa, wala hutapona.


akasema, Ee BWANA, kumbuka haya, nakusihi, kwamba nimekwenda mbele zako katika kweli na kwa moyo mkamilifu, na kutenda yaliyo mema machoni pako. Hezekia akalia kwa uchungu.


Bali wewe usalipo, ingia katika chumba chako cha ndani, na ukiisha kufunga mlango wako, usali mbele za Baba yako aliye sirini; na Baba yako aonaye sirini atakujazi.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo