Isaya 34:3 - Swahili Revised Union Version3 Watu wao waliouawa watatupwa nje, na uvundo wa maiti zao utapaa juu, na milima itayeyushwa kwa damu yao. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema3 Maiti zao zitatupwa nje; harufu ya maiti zao itasambaa; milima itatiririka damu yao. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND3 Maiti zao zitatupwa nje; harufu ya maiti zao itasambaa; milima itatiririka damu yao. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza3 Maiti zao zitatupwa nje; harufu ya maiti zao itasambaa; milima itatiririka damu yao. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu3 Waliouawa watatupwa nje, maiti zao zitatoa uvundo, milima itatota kwa damu zao. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu3 Waliouawa watatupwa nje, maiti zao zitatoa uvundo, milima itatota kwa damu zao. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI3 Watu wao waliouawa watatupwa nje, na uvundo wa maiti zao utapaa juu, na milima itayeyushwa kwa damu yao. Tazama sura |
lakini jeshi lililotoka kaskazini nitaliondolea mbali nanyi, nami nitalifukuza mpaka nchi ya ukame na ukiwa; sehemu yake iliyo mbele itaingia katika bahari ya mashariki, na sehemu yake iliyo nyuma itaingia katika bahari ya magharibi; na uvundo wake utapanda juu, na harufu yake mbaya itapanda juu, kwa sababu ametenda mambo makubwa.