Isaya 33:5 - Swahili Revised Union Version5 BWANA ametukuka; kwa maana anakaa juu; amejaza Sayuni hukumu na haki. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema5 Mwenyezi-Mungu ametukuka, yeye anaishi juu mbinguni. Ameujaza Siyoni haki na uadilifu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND5 Mwenyezi-Mungu ametukuka, yeye anaishi juu mbinguni. Ameujaza Siyoni haki na uadilifu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza5 Mwenyezi-Mungu ametukuka, yeye anaishi juu mbinguni. Ameujaza Siyoni haki na uadilifu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu5 Mwenyezi Mungu ametukuka, kwa kuwa anakaa mahali palipoinuka, ataijaza Sayuni kwa haki na uadilifu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu5 bwana ametukuka, kwa kuwa anakaa mahali palipoinuka, ataijaza Sayuni kwa haki na uadilifu. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI5 BWANA ametukuka; kwa maana anakaa juu; amejaza Sayuni hukumu na haki. Tazama sura |