Isaya 33:12 - Swahili Revised Union Version12 Nao mataifa watakuwa kama kuchoma chokaa, kama miiba iliyokatika, iteketezwayo motoni. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema12 Watu watakuwa kama wamechomwa kuwa majivu, kama miiba iliyokatwa na kuteketezwa motoni. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND12 Watu watakuwa kama wamechomwa kuwa majivu, kama miiba iliyokatwa na kuteketezwa motoni. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza12 Watu watakuwa kama wamechomwa kuwa majivu, kama miiba iliyokatwa na kuteketezwa motoni. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu12 Mataifa watachomwa wawe majivu; kama vichaka vya miiba vilivyokatwa ndivyo watakavyochomwa.” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu12 Mataifa yatachomwa kama ichomwavyo chokaa, kama vichaka vya miiba vilivyokatwa ndivyo watakavyochomwa.” Tazama suraBIBLIA KISWAHILI12 Nao mataifa watakuwa kama kuchoma chokaa, kama miiba iliyokatika, iteketezwayo motoni. Tazama sura |